𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐎𝐌𝐁𝐎 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐉𝐔𝐌𝐁𝐄 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀 𝐃𝐉𝐈𝐁𝐎𝐔𝐓𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 10, 2026

𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐊𝐎𝐌𝐁𝐎 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐉𝐔𝐌𝐁𝐄 𝐌𝐀𝐀𝐋𝐔𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀 𝐃𝐉𝐈𝐁𝐎𝐔𝐓𝐈

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Djibouti Mhe. Ismaïl Omar Guelleh wa nchi hiyo.

Mheshimiwa Kombo amewasilisha ujumbe huo wakati wa sherehe za uapisho wa Mheshimiwa Rais Guelleh zilizofanyika Mei 09, 2026 jijini Djibouti.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad