WAHARIRI kutoka vyombo mbalimbali vya habari waliokuwa katika ziara ya kutembelea Kiwanda cha uzalishaji wa mipira ya mikono (GLOVES cha MSD kilichopo Idofi Makambako Mkoani Njombe, Julai 4, 2024 wakizungumza jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD), Mavere Tukai walitoa pongenzi zao kwa Serikali na MSD kwakufanya mapinduzi ya uwekezaji wa kiwanda hicho kikubwa ambacho kinakwenda kuondoa changamoto ambayo ingezweza kutokea kwa kukosekana kwa mipira hiyo katika Hospitali, Vituo vya Afya na Zaanati hapa nchini.
Saturday, July 6, 2024
WAHARIRI WAIPONGEZA SERIKALI, MSD KWA UWEKEZAJI KIWANDA CHA MIPIRA YA MIKONO IDOFI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Ni chombo cha habari kinachotoa habari na matukio mbalimbali nchini Tanzania na kokote duniani ,kwa kujali weledi na taaluma ya habari.
KWA MATANGAZO NA HUDUMA YA HABARI, WASILIANA NASI,
0754 362 990.
0688 914 344
Email: singidani77@gmail.com,








No comments:
Post a Comment