Magreth Mwaibale, enzi za uhai wake.
.....................................................
Ndugu Lusajo Aswile Mwaibale anasikitika kutangaza kifo cha mke wake, Magreth Mwaibale (Grace Mwakila), kilichotokea Mchi 25, 2025 Saa 12: 00 jioni Hospitali ya
Benjamini Mkapa Jijini Dodoma alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Taratibu za
mazishi yake zinafanyika nyumbani kwake Wajenzi Dodoma ambapo mwili wake
utasafirishwa Machi 27, 2025 kuelekea Kijiji cha Ngopyolo Kilichopo
Lutengano Wilayani Rungwe mkoani Mbeya kwa mazishi yatakayo fanyika Machi 28, 2025 siku ya Ijumaa.
Bwana Alitoa
na Bwana Ametwaa jina lake lihimidiwe.









No comments:
Post a Comment