SASA HIVI ANADUNDA NA MUME ALIYEMNASA KWENYE DUKA LA DAWA! - SINGIDANI BLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, 22 February 2026

SASA HIVI ANADUNDA NA MUME ALIYEMNASA KWENYE DUKA LA DAWA!

Naitwa Theresia, mwanamke ambaye kwa miaka mingi nimeishi nikiwa na hofu kubwa ya kuitwa “mwanamke wa mikosi.” Kwa nje nilikuwa naonekana mrembo, mwenye mvuto na kila sifa ya kuitwa mke, lakini nyuma ya pazia kulikuwa na giza nene ambalo lilikula furaha yangu kwa zaidi ya miaka kumi na miwili.

Kila mwanaume aliyekuwa akijitokeza na kutaka kunioa, alikuwa anakumbwa na balaa kubwa. Wa kwanza alipata ajali mbaya wiki mbili kabla ya harusi, wa pili alipoteza kazi yake ghafla na akachanganyikiwa, na wa tatu alihama nchi bila kutoa taarifa yoyote punde tu baada ya kutoa posa.

ENDELEA KUSOMA

 


 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad