Kulikuwa na tukio la kushangaza lililotokea katika soko moja maarufu jijini Mbeya baada ya mwanamke mmoja kudaiwa kuiba bidhaa na kujikuta katika hali ya aibu isiyo ya kawaida. Tukio hilo lilivuta umati mkubwa wa watu waliokuwa wakishuhudia hali hiyo ya ajabu.
Kwa mujibu wa mashuhuda, mwanamke huyo aliingia sokoni kama mteja wa kawaida na kuanza kuangalia bidhaa mbalimbali. Baada ya muda mfupi, alichukua baadhi ya vitu na kuvificha kwenye mfuko wake bila kulipa.








No comments:
Post a Comment